
Simba na Mtibwa zilifikisha pointi 15 baafa ya kushinda michezo yao ya jana lakini ushindi wa Yanga leo unafanya timu tatu kufungana pointi lakini tofauti ya magoli ndio unazitofautisha katika msimamo wa ligi.
Ajib ndio anaongoza kwa ufungaji kwenye kikosi cha Yanga akiwa na magoli matano (5) aliyoyafunga kwenye mechi saba alizocheza.
No comments:
Post a Comment