Serikali Brazil imesamehe deni lake kwa Tanzania ambalo ni jumla ya dola za kimarekani Mil. 203 ambazo ni sawa na Tsh Bil. 445, hiyo ni kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania. Dk Hassan Abbas amesema deni hilo lilitokana na mkopo uliotolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Morogoro - Dodoma mwaka 1979 pamoja riba.
Sunday, 17 September 2017
Brazil yaisamehe Tanzania deni la shilingi bilioni 445
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Smart Ago ni jina la blog yangu ambapo blog hii nimeianzisha kwa sababu nyingi na tofautitofauti.Ambapo miongoni mwa malengo yangu ni kuwaandalia na kuwafikishia habari mbalimbali za ndani na nje ya nchi,michezo,siasa na kutoa elimu nyingine nyingi katika jamii yangu inayonizunguka ili kuweza kuwa urahisi wa wao kutohangaika kutafuta semina pengine wengine wako vijijini ata kuangalia runinga kwao ni ngumu hivyo watapata habari kwa kuandika smartago.blogspot.com popote walipo kwa kutumia simu zao za smartphone, karibuni sana na mualike na mwenzako.
No comments:
Post a Comment